CHADEMA yazidi kuikalia kooni CCM


CHADEMA yazidi kuikalia kooni CCM

CHADEMA Imeendelea kuwatesa wapinzani wao CCM kwa kuendeleza kwa kasi kampeni yake ya VUA GAMBA VAA GWANDA,ambapo jana jioni kabisa Mwenyekiti Vijana (BAVICHA) John Heche aliwapokea wanachama wengi wa CCM walioamua kujivua magamba na kujiunga na M4C.Anayeonekana na gwanda jeusi pichani akiwa na mwenyekiti heche ni ndg Godfrey Chikandamwali aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji wa CCM wilaya ya Kinondoni,pamoja naye ni ndugu yake Anna Chikandawali mjumbe wa UWT wilaya,na wengine wengi.Heche amepokea wanachama hao Mwenge jijini Dar es Salaam.


Comments

Popular posts from this blog

VARIOUS MASONIC SYMBOLS

KANUMBA THE GREATS